forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
337 B
Markdown
20 lines
337 B
Markdown
|
# Lakini ni nini Mungu alijibu akiwaambia?
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia swali hili kuwaleta wasomaji kwenye wazo linalofuata.
|
||
|
|
||
|
# Ni nini jibu la Mungu akiwaambia
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliwajibu vipi"
|
||
|
|
||
|
# Yeye
|
||
|
|
||
|
Neno "yeye" linamaanisha Eliya
|
||
|
|
||
|
# Watu elfu saba
|
||
|
|
||
|
"watu 7000"
|
||
|
|
||
|
# Mabaki
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha sehemu ndogo ya watu waliochaguliwa na Mungu kupokea neema yake.
|