forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
375 B
Markdown
16 lines
375 B
Markdown
# Lakini wote hawakusikiliza
|
|
|
|
"Lakini si Wayahudi wote walisikiliza'
|
|
|
|
# Bwana, nani ambaye ameamini ujumbe wetu?
|
|
|
|
Paulo anatumia swali hili kusisitia kwamba Isaya alitabiri katika Maandiko kwamba Wayahudi wengi hawataamini katika Yesu. "Bwana, wengi wao hawaamini ujumbe wetu"
|
|
|
|
# ujumbe wetu
|
|
|
|
hapa, "wetu" urejea kwa Mungu na Isaya.
|
|
|
|
# amini
|
|
|
|
kubali au amini kwamba ni kweli
|