sw_tn/rom/10/16.md

375 B

Lakini wote hawakusikiliza

"Lakini si Wayahudi wote walisikiliza'

Bwana, nani ambaye ameamini ujumbe wetu?

Paulo anatumia swali hili kusisitia kwamba Isaya alitabiri katika Maandiko kwamba Wayahudi wengi hawataamini katika Yesu. "Bwana, wengi wao hawaamini ujumbe wetu"

ujumbe wetu

hapa, "wetu" urejea kwa Mungu na Isaya.

amini

kubali au amini kwamba ni kweli