sw_tn/rom/10/04.md

676 B

Kwa kuwa Kristo ni hitimisho la sheria

"Kwa kuwa Kristo kwa ukamilifu alitimiliza sheria"

kwa kuwa haki ipo kwa yoyote ambaye huamini.

"ili kwamba aweze kumfanya kila moja aaminie katika yeye kuwa sawa mbele yake Mungu"

uamini

Hapa ina maanisha kuamini kitu ni kukubali au kusadiki kuwa ni kweli.

haki inayo kuja kutokana na sheria

"namna gani sheria humfanya kuwa sawa mbele zake Mungu"

Mtu ambaye hufanya haki ya sheria ataishi kwa haki hii

"Mtu ambaye kwa ukamilifu utii sheria ataishi kwa sababu sheria itamfanya yeye kuwa sawa mbele ya Mungu"

ataishi

Hii inaweza kurejea kwa 1) uzima wa milele au 2)maisha ya dunia katika ushirika pamoja na Mungu.