sw_tn/rom/09/30.md

276 B

Tutasema nini basi?

Tofasiri mbadala: "Hivi ndivyo tunapaswa kusema"

Kwamba mataifa

Tofasiri mbadala: "Tutasema kwamba wa mataifa"

ambao hawakuitafuta haki

"ambao hawakujaribu kumfurahisha Mungu"

hawakuweza kuifikia

"hawakuweza kuipata haki kwa kuifata sheria"