# Tutasema nini basi? Tofasiri mbadala: "Hivi ndivyo tunapaswa kusema" # Kwamba mataifa Tofasiri mbadala: "Tutasema kwamba wa mataifa" # ambao hawakuitafuta haki "ambao hawakujaribu kumfurahisha Mungu" # hawakuweza kuifikia "hawakuweza kuipata haki kwa kuifata sheria"