sw_tn/rom/09/27.md

675 B

hulia

"huita"

kama mchanga wa bahari

"ni zaidi kuhesabu"

wataokolewa

Kuokolewa imetumika katika maana ya kiroho. Kama mtu "ameokolewa", ina maanisha kwamba kupitia kuamini kifo cha Yesu pale msalabani, Mungu amekwisha msahehe na kumkomboa yeye kutoka katika kuhukumiwa kwa dhambi yake.

neno

Hii inarejea kwa kila kitu Mungu alichosema au kuamuru.

yetu...sisi

Hapa maneno "yetu" na "sisi" urejea kwa Isaya na kuwajumuisha waisraeli

tungekuwa kama Sodoma, na tumefanywa kama Gomora

Unaweza kufanya kwa uwazi namna waisraeli wangekuwa kama Sodoma na Gomora. Tofasiri mbadala: "tungekuwa wote tumeteketezwa, kama miji ya Sodoma na Gomora ilivyoteketezwa.