sw_tn/rom/09/25.md

662 B

Sentensi unganishi:

Kaitka sehemu hii Paul anaeleza namna kuto amini kwa waisraeli kama taifa kulisemwa mbele ya wakati na nabii Hosea.

Kama asemavyo katika Hosea

"Kama Mungu asemavyo pia katika kitabu cha Hosea aliandika"

Hosea

Hosea alikuwa nabii

Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu

" Nitawachagua watu ambao hawakuwa watu wangu kuwa watu wangu"

mpendwa wake ambaye hakuwa amependwa

"Nitamchagua yeye ambaye siku mpenda kuwa mmoja wa yule ninaye mpenda"

wana wa Mungu aliye hai

Neno "hai" linaweza kurejea kwa kigezo kwamba Mungu ni pekee wa "kweli", na siyo kama sanamu za uongo. Tofasiri mbadala: "watoto wa Mungu wa kweli"