forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
662 B
Markdown
24 lines
662 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Kaitka sehemu hii Paul anaeleza namna kuto amini kwa waisraeli kama taifa kulisemwa mbele ya wakati na nabii Hosea.
|
||
|
|
||
|
# Kama asemavyo katika Hosea
|
||
|
|
||
|
"Kama Mungu asemavyo pia katika kitabu cha Hosea aliandika"
|
||
|
|
||
|
# Hosea
|
||
|
|
||
|
Hosea alikuwa nabii
|
||
|
|
||
|
# Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu
|
||
|
|
||
|
" Nitawachagua watu ambao hawakuwa watu wangu kuwa watu wangu"
|
||
|
|
||
|
# mpendwa wake ambaye hakuwa amependwa
|
||
|
|
||
|
"Nitamchagua yeye ambaye siku mpenda kuwa mmoja wa yule ninaye mpenda"
|
||
|
|
||
|
# wana wa Mungu aliye hai
|
||
|
|
||
|
Neno "hai" linaweza kurejea kwa kigezo kwamba Mungu ni pekee wa "kweli", na siyo kama sanamu za uongo. Tofasiri mbadala: "watoto wa Mungu wa kweli"
|