sw_tn/rom/09/14.md

627 B

Basi tena tutasema nini?

Paulo anatumia swali kusahihisha hitimisho kwamba Mungu si dhalimu.

La hasha

"Hilo haliwezekani!" au bila shaka!" Usemi hii kwa nguvu hukanusha kwamba hii ingewezekana kufanyika. Unaweza kuwa na usemi wa kufanana katika lugha yako kwamba ungeweza kutumia hapa.

Kwa kuwa anasema kwa Musa

"Kwa kuwa Mungu anasema kwa Musa"

Si kwa sababu yeye anataka, wala kwa sababu ya yeye akimbiae

"Si kwa sababu ya wale watu hupenda au kwa sababu wanajaribu kwa nguvu"

wala si kwa sababu ya yeye akimbiae

Paul anamlinganisha mtu anayekimbia mbio kwa mtu ambaye anajitahidi kwa nguvu kufikia lengo.