forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
627 B
Markdown
20 lines
627 B
Markdown
|
# Basi tena tutasema nini?
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia swali kusahihisha hitimisho kwamba Mungu si dhalimu.
|
||
|
|
||
|
# La hasha
|
||
|
|
||
|
"Hilo haliwezekani!" au bila shaka!" Usemi hii kwa nguvu hukanusha kwamba hii ingewezekana kufanyika. Unaweza kuwa na usemi wa kufanana katika lugha yako kwamba ungeweza kutumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa anasema kwa Musa
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa Mungu anasema kwa Musa"
|
||
|
|
||
|
# Si kwa sababu yeye anataka, wala kwa sababu ya yeye akimbiae
|
||
|
|
||
|
"Si kwa sababu ya wale watu hupenda au kwa sababu wanajaribu kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# wala si kwa sababu ya yeye akimbiae
|
||
|
|
||
|
Paul anamlinganisha mtu anayekimbia mbio kwa mtu ambaye anajitahidi kwa nguvu kufikia lengo.
|