forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
586 B
Markdown
28 lines
586 B
Markdown
# Hivyo basi
|
|
|
|
"Kwasababu yale niliyokwisha kuwaambia ni kweli"
|
|
|
|
# ndugu
|
|
|
|
"waumini wenzangu"
|
|
|
|
# sisi tu wadeni
|
|
|
|
Paulo analinganisha utii kama kulipa deni. "tunahitaji kutii"
|
|
|
|
# lakini sio kwa mwili kuishi kulingana na mwili
|
|
|
|
"lakini sisi si wadeni wa mwili, na sisi hatupaswi kuzitii tamaa zetu za dhambi"
|
|
|
|
# Kwa maana mkiishi kwa jinsi ya mwili
|
|
|
|
"Kwasababu mkiishi tu kwa kupendeza tamaa zenu za dhambi"
|
|
|
|
# mko karibu kufa
|
|
|
|
"hakika mtatengwa na Mungu"
|
|
|
|
# lakini ikiwa kwa Roho mnayafisha matendo ya mwili
|
|
|
|
"Lakini ikiwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu mnaacha kuzitii tamaa zenu za dhambi"
|