sw_tn/rom/08/12.md

586 B

Hivyo basi

"Kwasababu yale niliyokwisha kuwaambia ni kweli"

ndugu

"waumini wenzangu"

sisi tu wadeni

Paulo analinganisha utii kama kulipa deni. "tunahitaji kutii"

lakini sio kwa mwili kuishi kulingana na mwili

"lakini sisi si wadeni wa mwili, na sisi hatupaswi kuzitii tamaa zetu za dhambi"

Kwa maana mkiishi kwa jinsi ya mwili

"Kwasababu mkiishi tu kwa kupendeza tamaa zenu za dhambi"

mko karibu kufa

"hakika mtatengwa na Mungu"

lakini ikiwa kwa Roho mnayafisha matendo ya mwili

"Lakini ikiwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu mnaacha kuzitii tamaa zenu za dhambi"