forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
332 B
Markdown
16 lines
332 B
Markdown
# kama roho...anaishi ndani yenu
|
|
|
|
Paulo anaamini kuwa Roho Mtakatifu anaishi ndani ya wasomaji wake. "Kwa kuwa Roho...anaishi ndani yenu"
|
|
|
|
# ya yule aliyemfufua
|
|
|
|
"ya Mungu, aliyemfufua"
|
|
|
|
# fufuliwa
|
|
|
|
Hapa hii imaanisha kumfanya mtu alikufa kuwa hai tena.
|
|
|
|
# mwili wa kibinadamu
|
|
|
|
"mwili wa nyama" au "miili, ambayo siku moja itakufa"
|