forked from WA-Catalog/sw_tn
332 B
332 B
kama roho...anaishi ndani yenu
Paulo anaamini kuwa Roho Mtakatifu anaishi ndani ya wasomaji wake. "Kwa kuwa Roho...anaishi ndani yenu"
ya yule aliyemfufua
"ya Mungu, aliyemfufua"
fufuliwa
Hapa hii imaanisha kumfanya mtu alikufa kuwa hai tena.
mwili wa kibinadamu
"mwili wa nyama" au "miili, ambayo siku moja itakufa"