sw_tn/rom/08/06.md

292 B

Sentensi unganishi:

Paulo anaendelea kulinganisha miili yetu sisi kama waumini na Roho tuliye naye.

nia ya mwili...ile nia ya Roho

"jinsi ambavyo wenye dhambi hufikiri...jinsi ambavyo wale wanaomsikiliza Roho Mtakatifu hufikiri"

kifo

Hapa hii inamaanisha kutengwa kwa mtu na Mungu