sw_tn/rom/08/06.md

12 lines
292 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi:
Paulo anaendelea kulinganisha miili yetu sisi kama waumini na Roho tuliye naye.
# nia ya mwili...ile nia ya Roho
"jinsi ambavyo wenye dhambi hufikiri...jinsi ambavyo wale wanaomsikiliza Roho Mtakatifu hufikiri"
# kifo
Hapa hii inamaanisha kutengwa kwa mtu na Mungu