forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
483 B
Markdown
24 lines
483 B
Markdown
# Taarifa unganishi:
|
|
|
|
Paulo anaongea kuhusu vita iliyopo kwenye utu wake wa ndani kati ya mwili wake na sheria ya Mungu - kati ya dhambi na wema.
|
|
|
|
# Kwa maana nilifanyalo, kwa hakika silielewai
|
|
|
|
"Mimi sina uhakika kwanini nafanya mambo niyafanyayo"
|
|
|
|
# Kwa
|
|
|
|
"Mimi sielewi kwanini nafanya niyafanyayo kwa sababu"
|
|
|
|
# nisilolipenda, natenda
|
|
|
|
"Mambo ambayo najua si mema ndiyo niyafanyayo"
|
|
|
|
# Lakini
|
|
|
|
"Hata hivyo"
|
|
|
|
# Mimi nakubaliana na sheria
|
|
|
|
"Mimi najua kuwa sheria ya Mungu ni njema"
|