sw_tn/rom/07/15.md

483 B

Taarifa unganishi:

Paulo anaongea kuhusu vita iliyopo kwenye utu wake wa ndani kati ya mwili wake na sheria ya Mungu - kati ya dhambi na wema.

Kwa maana nilifanyalo, kwa hakika silielewai

"Mimi sina uhakika kwanini nafanya mambo niyafanyayo"

Kwa

"Mimi sielewi kwanini nafanya niyafanyayo kwa sababu"

nisilolipenda, natenda

"Mambo ambayo najua si mema ndiyo niyafanyayo"

Lakini

"Hata hivyo"

Mimi nakubaliana na sheria

"Mimi najua kuwa sheria ya Mungu ni njema"