sw_tn/rom/07/11.md

310 B

Kwa maana dhambi ilichukua nafasi kwa ile amri na kunidanganya mimi. Kupitia ile amri, iliniua mimi.

Paulo anaielezea dhambi kama mtu anayeweza kufanya mambo 3: kuchukua nafasi, kudanganya, na kuua.

dhambi

"hamu yangu ya kutenda dhambi"

kuchukua nafasi kupitia amri

tazama ulivyotafasiri hapo awali