forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
310 B
Markdown
12 lines
310 B
Markdown
|
# Kwa maana dhambi ilichukua nafasi kwa ile amri na kunidanganya mimi. Kupitia ile amri, iliniua mimi.
|
||
|
|
||
|
Paulo anaielezea dhambi kama mtu anayeweza kufanya mambo 3: kuchukua nafasi, kudanganya, na kuua.
|
||
|
|
||
|
# dhambi
|
||
|
|
||
|
"hamu yangu ya kutenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# kuchukua nafasi kupitia amri
|
||
|
|
||
|
tazama ulivyotafasiri hapo awali
|