forked from WA-Catalog/sw_tn
310 B
310 B
Kwa maana dhambi ilichukua nafasi kwa ile amri na kunidanganya mimi. Kupitia ile amri, iliniua mimi.
Paulo anaielezea dhambi kama mtu anayeweza kufanya mambo 3: kuchukua nafasi, kudanganya, na kuua.
dhambi
"hamu yangu ya kutenda dhambi"
kuchukua nafasi kupitia amri
tazama ulivyotafasiri hapo awali