sw_tn/rom/07/09.md

310 B

dhambi iliutawala uhai

Hii inaweza kumaanisha 1) " Nilitambua kuwa nilikuwa natenda dhambi" (UDB) 2) "Nilitamani sana kutenda dhambi."

Ile amri ambayo ingelileta uzima iligeuka kuwa mauti kwangu.

Paulo hakufa kabisa kimwili. "Mungu alinipa mimi amri ili nipate kuishi, lakini badala yake iliniua mimi."