sw_tn/rom/05/14.md

868 B

Bila shaka

"Bado" au "Hapakuwa na kuandikwa kwa sheria kutokea wakati wa Adamu mpaka wakati wa Musa, lakini"

kifo kilitawala kutokea Adamu mpaka Musa

Paulo analinganisha kifo na mfalme. "watu waliendelea kufa kutokea wakati wa Adamu mpaka wakati wa Musa kama matokeo ya dhambi zao."

hata kwa wale hawakutenda dhambi kama kutotii kwa Adamu

"hata watu ambao dhambi zao zilikuwa tofauti na za Adamu waliendelea kufa"

yeye ni mfano wa yeye aliyepaswa kuja

Adamu alikuwa mfano wa Kristo, ambaye alijitokeza badae. Alikuwa na vitu vya kufanana naye.

Kwa kuwa kama...wengi walikufa...zaidi sana neema ya Mungu na zawadi...kuongezeka

Ni muhimu kwamba "wengi walikufa," lakini ni ya umuhimu zaidi kwamba "neema ya Mungu na zawadi" ziliongezeka

zaidi ilivyofanya neema...na zawadi...kuongezeka

"Neema... na zawadi" zilikuwa kubwa na imara kuliko makosa