forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
868 B
Markdown
24 lines
868 B
Markdown
|
# Bila shaka
|
||
|
|
||
|
"Bado" au "Hapakuwa na kuandikwa kwa sheria kutokea wakati wa Adamu mpaka wakati wa Musa, lakini"
|
||
|
|
||
|
# kifo kilitawala kutokea Adamu mpaka Musa
|
||
|
|
||
|
Paulo analinganisha kifo na mfalme. "watu waliendelea kufa kutokea wakati wa Adamu mpaka wakati wa Musa kama matokeo ya dhambi zao."
|
||
|
|
||
|
# hata kwa wale hawakutenda dhambi kama kutotii kwa Adamu
|
||
|
|
||
|
"hata watu ambao dhambi zao zilikuwa tofauti na za Adamu waliendelea kufa"
|
||
|
|
||
|
# yeye ni mfano wa yeye aliyepaswa kuja
|
||
|
|
||
|
Adamu alikuwa mfano wa Kristo, ambaye alijitokeza badae. Alikuwa na vitu vya kufanana naye.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa kama...wengi walikufa...zaidi sana neema ya Mungu na zawadi...kuongezeka
|
||
|
|
||
|
Ni muhimu kwamba "wengi walikufa," lakini ni ya umuhimu zaidi kwamba "neema ya Mungu na zawadi" ziliongezeka
|
||
|
|
||
|
# zaidi ilivyofanya neema...na zawadi...kuongezeka
|
||
|
|
||
|
"Neema... na zawadi" zilikuwa kubwa na imara kuliko makosa
|