sw_tn/rom/03/19.md

623 B

chochote Sheria inasema, anaongea na

'Kila kitu ambacho sheria inasema watu lazima kufanya ni kwa' au 'amri yote ambayo Musa aliandika katika sheria ni kwa ajili ya'

ili kwamba kila kinywa inaweza kuwa kimefungwa

'Hivyo kwamba hakuna mtu anauwezo wa kusema chochote halali kujitetea mwenyewe'

mwili

Hapa ina maana kwa njia ya mfano kumaanisha binadamu wote au viumbe hai wote.

kwa

Maana inawezakua ni 1) Kwa sababu hiyo" au 2) "Hii ni kwa sababu" au 3) "Badala."

kupitia sheria inakuja kutambua dhambi

"Wakati mtu anajua sheria ya Mungu, anatambua kwamba yeye si mwema bali mwenye dhambi mbele za Mungu"