forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
623 B
Markdown
20 lines
623 B
Markdown
|
# chochote Sheria inasema, anaongea na
|
||
|
|
||
|
'Kila kitu ambacho sheria inasema watu lazima kufanya ni kwa' au 'amri yote ambayo Musa aliandika katika sheria ni kwa ajili ya'
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba kila kinywa inaweza kuwa kimefungwa
|
||
|
|
||
|
'Hivyo kwamba hakuna mtu anauwezo wa kusema chochote halali kujitetea mwenyewe'
|
||
|
|
||
|
# mwili
|
||
|
|
||
|
Hapa ina maana kwa njia ya mfano kumaanisha binadamu wote au viumbe hai wote.
|
||
|
|
||
|
# kwa
|
||
|
|
||
|
Maana inawezakua ni 1) Kwa sababu hiyo" au 2) "Hii ni kwa sababu" au 3) "Badala."
|
||
|
|
||
|
# kupitia sheria inakuja kutambua dhambi
|
||
|
|
||
|
"Wakati mtu anajua sheria ya Mungu, anatambua kwamba yeye si mwema bali mwenye dhambi mbele za Mungu"
|