sw_tn/rom/03/01.md

419 B

Sentensi unganishi:

Paulo anatangaza faida walionazo Wayahudi kwa sababu Mungu aliwapa sheria zake.

Kisha ni faida gani aliyonayo Myahudi? Na ni manufaa gani ya tohara?

"Kisha Wayahudi hawana kufaidika na ahadi ya Mungu, ingawa Mungu aliahidi wangeweza!"

Ni kubwa

"Kuna faida nyingi"

Kwanza kabisa

Hii ina maana kwamba ama 1) "Kwanza katika utaratibu wa wakati" au 2) "Amina" (UDB) au 3) "Muhimu zaidi."