sw_tn/rom/02/15.md

591 B

Kwa hili walionyesha

"Kwa kutii sheria walionyesha"

Matendo yaliyotakiwa na sheria yaliyoandikwa kwenye mioyo yao

"Mungu ameandika kwenye mioyo yao mambo ambayo sheria inawataka wafanye" au "Walifahamu ni nini sheria iliwataka wao wafanye"

Yaliyotakiwa na sheria

"Sheria inataka" au "Ambayo Mungu ameamuru kupitia sheria"

kuwashuhudia wao, na mawazo yao wenyewe ama kuwashitaki au kuwalinda kwa ajili yao wenyewe

"waambie kama hawatii au wanatii amri za Mungu"

Siku ambayo Mungu atahukumu

Hii inaelezea mwisho wa mawazo ya Paulo "hii itatokea siku ambayo Mungu atahukumu"