sw_tn/rom/02/13.md

720 B

Sentensi unganishi:

Paulo anaendelea kuwafanya wasomaji wajue kwamba kutii sheria za Mungu inatakiwa hata kwa wale ambao hawana sheria za Mungu.

Kwa

Kama lugha yako ina njia nyingine aya kuelezea kuwa mstari wa 14 na 15 unaingilia mawazo makuu ya Paulo na kumpa msomaji taarifa za ziada. Unaweza ukaiweka 2:14-15 kabla ya 2:13 au baada ya 2:16. "kwa sababu"

Sio wasikilizaji wa sheria

"Sio tuu kwa wale wasikilizaji wa sheria ya Musa"

Walio na haki mbele za Mungu

"wale wanaompendeza Mungu"

lakini ni kwa watendaji wa sheria

"lakini ni kwa wale wanaoitii sheria ya Musa"

Kina nani watakuwa waadilifu.

"ambao Mungu atawapokea"

Walio na sheria kwao wenyewe

"Walio na sheria za Mungu ndani mwao"