sw_tn/rom/01/28.md

344 B

Kwa sababu hawakuthibitisha kuwa na Mungu katika ufahamu wao

"Hawakufikiri kuwa kulikuwa na umuhimu wa kumjua Mungu"

Wao...yao...wale

Maneno haya yanamaanisha "binadamu"

Aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa

Mungu aliruhusu akili zao zijazwe na uasherati na uwatawale"

sio sahihi

"kudhalilisha" au "isiyo na heshima" au "dhambi"