sw_tn/rom/01/26.md

632 B

Hii

"uzinzi na dhambi ya uasherati"

Mungu aliwapa ili

"Mungu aliruhusu wajiingize"

Tamaa ya kufedhehesha

"tamaa za aibu za kimwili"

Kwa kuwa wanawake wao

"kwa sababu wanawake wao"

Wanawake wao

wanawake wa "mwanadamu"

Wakageuza matumizi ya asili kinyume na asili

"Wakaanza kujamiiana kwa njia ambayo Mungu hakuitengeneza"

Wakaungua kwa tamaa zao

"wakapata tamaa kali za mwili"

Isivyofaa

"kudhalilisha" au "chafu" au "dhambi"

Waliopokea adhabu kwa sababu ya upotoshaji wao

"Waliopokea adhabu inayostahili toka kwa Mungu kwa sababu ya upotoshaji wao"

kupotosha

Tabia ambayo ni mbaya na isiyofaa.