sw_tn/rom/01/20.md

868 B

Kwa kuwa

Paulo anaelezea namna ambavyo Mungu alijidhihirisha mwenyewe kwa wanabamu

Mambo yake yasiyoonekana yameonekana wazi

"mambo yasiyoonekana" ni mambo yasiyoonekana kwa macho. Yamekuwa "yameonekana wazi" kwa sababu watu wameelewa kuwa wako pale japokuwa hawawezi kuona kwa macho yao.

Ulimwengu

Hii inamaanisha mbingu na dunia, pamoja na vyote vilivyomo.

Asili ya Mungu

"Ubora na tabia za Mungu" au "mambo ya Mungu yanayomfanya awe Mungu"

Wanaelewe kupitia vitu vilivyoumbwa

"watu wanaweza kuelewa kuhusu Mungu kwa kuangalia vitu alivyovifanya"

Watu hawa hawatakuwa na udhuru

"Watu hawa hawatasema kuwa hawakujua"

Wakawa wajinga kwenye mawazo yao

"wakaanza kuwaza mambo ya kijinga"

Mioyo yao isiyo na hisia ilikuwa na giza

Maelezo haya yanaonyesha moyo uliokuwa na giza ikimaanisha wamekosa uelewa. "mioyo yao haiwezi tena kuelewa"