forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
868 B
Markdown
32 lines
868 B
Markdown
|
# Kwa kuwa
|
||
|
|
||
|
Paulo anaelezea namna ambavyo Mungu alijidhihirisha mwenyewe kwa wanabamu
|
||
|
|
||
|
# Mambo yake yasiyoonekana yameonekana wazi
|
||
|
|
||
|
"mambo yasiyoonekana" ni mambo yasiyoonekana kwa macho. Yamekuwa "yameonekana wazi" kwa sababu watu wameelewa kuwa wako pale japokuwa hawawezi kuona kwa macho yao.
|
||
|
|
||
|
# Ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mbingu na dunia, pamoja na vyote vilivyomo.
|
||
|
|
||
|
# Asili ya Mungu
|
||
|
|
||
|
"Ubora na tabia za Mungu" au "mambo ya Mungu yanayomfanya awe Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Wanaelewe kupitia vitu vilivyoumbwa
|
||
|
|
||
|
"watu wanaweza kuelewa kuhusu Mungu kwa kuangalia vitu alivyovifanya"
|
||
|
|
||
|
# Watu hawa hawatakuwa na udhuru
|
||
|
|
||
|
"Watu hawa hawatasema kuwa hawakujua"
|
||
|
|
||
|
# Wakawa wajinga kwenye mawazo yao
|
||
|
|
||
|
"wakaanza kuwaza mambo ya kijinga"
|
||
|
|
||
|
# Mioyo yao isiyo na hisia ilikuwa na giza
|
||
|
|
||
|
Maelezo haya yanaonyesha moyo uliokuwa na giza ikimaanisha wamekosa uelewa. "mioyo yao haiwezi tena kuelewa"
|