forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
392 B
Markdown
16 lines
392 B
Markdown
# Wafu waliobaki
|
|
|
|
"watu wote wengine waliokufa"
|
|
|
|
# miaka elfu ilipokuwa imeisha
|
|
|
|
"mwisho wa miaka 1,000"
|
|
|
|
# Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu hawa
|
|
|
|
Hapa Yohana anafafanua "mauti" kama mtu mwenye nguvu. "Watu hawa hawatapitia kifo cha pili"
|
|
|
|
# Mauti ya pili
|
|
|
|
"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu ya milele katika ziwa la moto la 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho ni ziwa la moto."
|