sw_tn/rev/19/03.md

713 B

walisema

Hapa waliosema ni umati wa watu mbinguni.

Haleluya

Neno hili linamaana "Msifu Mungu" au "Tumsifu Mungu."

Moshi hutoka kwake

Huu udondoshaji wa maneno. Unaweze kujumuisha maneno yaliyokosekana ambayo yameonyeshwa bila kutajwa. "Moshi wa moto unaowaka katika mji utainuka"

hutoka kwake milele na milele

"kutoka kwa waabudu sanamu milele na milele" au "kwa wale walioshiriki kwenye ukahaba watateseka milele"

hutoka kwake

Hapa anayezungumziwa ni Babeli.

wazee ishirini na wanne

wazee wanne -"wazee 24"

viumbe hai wanne

"viumbe wanne wenye uhai" au "vitu vinne vyenye uhai"

akaaye kwenye kiti cha enzi

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "aliyeketi kwenye kiti cha enzi"