forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
675 B
Markdown
24 lines
675 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Yohana anaanza kueleza sehemu ya maono yake kuhusu kahaba mkuu.
|
|
|
|
# hukumu ya kahaba mkuu akaaye juu ya maji mengi
|
|
|
|
Nomino "hukumu" linaweza kuelezwa na kitenzi "kuhukumu". "jinsi gani Mungu atamhukumu kahaba mkuu aliyeketi juu ya maji mengi"
|
|
|
|
# kahaba mkuu
|
|
|
|
"kahaba ambaye kila mmoja anamfahamu." Anawakilisha mji flani wenye uovu.
|
|
|
|
# juu ya maji mengi
|
|
|
|
"juu ya mito mingi"
|
|
|
|
# na juu ya mvinyo wa uasherati wake wakaao duniani wameleweshwa
|
|
|
|
Divai inawakilisha uasherati. "Watu wa duniani walilewa kwa kunywa divai yake, ambayo ni, walikuwa washerati"
|
|
|
|
# uasherati wake
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa na maana mbili: uasherati miongoni mwa watu na pia kuabudu miungu.
|