sw_tn/rev/16/10.md

520 B

akamwaga kutoka kwenye bakuli lake

Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"

kiti cha enzi cha mnyama

Hapa ndipo mnyama anapotawalia. Inaweza kumaanisha mji mkuu wa ufalme wake.

giza likaufunika ufalme wake

Giza linazungumziwa kama vile ni kitu kama blangeti. "ikawa giza katika ufalme wake wote" au " ufalme wake wote ukawa giza"

Walisaga ... Wakamtukana

Hapa inamaanisha watu katika ufalme wa mnyama.