forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
520 B
Markdown
16 lines
520 B
Markdown
|
# akamwaga kutoka kwenye bakuli lake
|
||
|
|
||
|
Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"
|
||
|
|
||
|
# kiti cha enzi cha mnyama
|
||
|
|
||
|
Hapa ndipo mnyama anapotawalia. Inaweza kumaanisha mji mkuu wa ufalme wake.
|
||
|
|
||
|
# giza likaufunika ufalme wake
|
||
|
|
||
|
Giza linazungumziwa kama vile ni kitu kama blangeti. "ikawa giza katika ufalme wake wote" au " ufalme wake wote ukawa giza"
|
||
|
|
||
|
# Walisaga ... Wakamtukana
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha watu katika ufalme wa mnyama.
|