sw_tn/rev/16/03.md

238 B

alimwaga bakuli lake

Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"

bahari

Hii inamaanisha maziwa yote ya maji ya chumvi na mabahari.