sw_tn/rev/16/03.md

8 lines
238 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# alimwaga bakuli lake
Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"
# bahari
Hii inamaanisha maziwa yote ya maji ya chumvi na mabahari.