forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
619 B
Markdown
24 lines
619 B
Markdown
# Kauli Unganishi:
|
|
|
|
Wazee ishirini na nne wanaendelea kumsifu Mungu.
|
|
|
|
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Maneno "yako" na "wako" yanamaanisha Mungu.
|
|
|
|
# Walikasirishwa
|
|
|
|
"walikasirika sana"
|
|
|
|
# ghadhabu yako imekuja
|
|
|
|
Inakuwepo katika muda wa sasa ikizungumzwa kama imeshatokea. "Upo tayari kuonyesha ghadhabu yako"
|
|
|
|
# Wakati umefika
|
|
|
|
Inakuwepo katika muda wa sasa ikizungumzwa kama imeshatokea. "Wakati ni sahihi" au "Sasa ni wakati"
|
|
|
|
# manabii, waamini, na wale walio na hofu ya jina lako
|
|
|
|
Orodha hii inafafanua maana ya "watumishi wako". Haya hayakuwa makundi matatu ya watu tofauti. Manabii walikuwa waamini na walimuogopa Mungu.
|