sw_tn/rev/11/18.md

619 B

Kauli Unganishi:

Wazee ishirini na nne wanaendelea kumsifu Mungu.

Taarifa ya Jumla:

Maneno "yako" na "wako" yanamaanisha Mungu.

Walikasirishwa

"walikasirika sana"

ghadhabu yako imekuja

Inakuwepo katika muda wa sasa ikizungumzwa kama imeshatokea. "Upo tayari kuonyesha ghadhabu yako"

Wakati umefika

Inakuwepo katika muda wa sasa ikizungumzwa kama imeshatokea. "Wakati ni sahihi" au "Sasa ni wakati"

manabii, waamini, na wale walio na hofu ya jina lako

Orodha hii inafafanua maana ya "watumishi wako". Haya hayakuwa makundi matatu ya watu tofauti. Manabii walikuwa waamini na walimuogopa Mungu.