sw_tn/rev/11/13.md

350 B

atu elfu saba

"Watu 7,000"

watakaobaki

"wale ambao hawatakufa" au "wale ambao bado wanaishi"

kumpa utukufu Mungu wa mbinguni

"kusema kuwa Mungu wa mbinguni ni mtukufu"

Ole ya pili imepita

"Tukio la pili baya limepita."

Ole ya tatu inakuja upesi

Kuwepo kwa kipindi cha mbele inazungumziwa kama kijacho. "Ole ya tatu itatokea punde"