sw_tn/rev/11/10.md

1013 B

watafurahi kwa ajili yao na kusherekea

"watafurahi kwamba mashahidi wawili wamekufa"

hata kutumiana zawadi

Hili tendo linaonesha jinsi gani watu walivyofurahi.

kwa sababu hao manabii wawili waliwatesa wale walioishi katika nch

Hii ndio sababu watu walifurahi sana kwamba mashahidi wamekufa.

siku tatu na nusu

"Siku 3 kamili na nusu moja ya siku" au "siku 3.5" au "siku 3 1/2"

pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu itawaingia

Uwezo wa pumzi unazungumziwa kama kitu kinachoweza kuingia ndani ya watu. "Mungu atasababisha mashahidi wawili kupumua tena na kuishi"

Hofu kuu itawaangukia wale wanaowaona

Hofu inazungumziwa kama kitu kinachoweza kuwaangukia watu. "Wale watakao waona wataogopa sana"

Kisha watasikia

Maana zinazowezekana ni 1) mashahidi wawili watasikia au 2) watu watasikia kile wanachoambiwa mashahidi wawili.

sauti kuu kutoka mbinguni

Neno "sauti" inammanisha ni yule anayenena. "mtu anazungumza nao kwa sauti kuu toka mbinguni na"

ikiwaambia

"ikiwaambia mashahidi wawili"