sw_tn/rev/03/09.md

842 B

sinagogi la Shetani

Watu wanaokusanyika kumtii au kumtukuza Shetani wanazungumziwa kama sinagogi, mahali pa wayahudi pa kuabudu na kufundishia.

kusujudu

Hii ni ishara ya unyenyekevu, sio kuabudu. "Sujudu kwa unyenyekevu"

mbele ya miguu yako

"mbele yako"

watajua

"watajifunza" au "watakiri"

nitakulinda pia katika saa ya kujaribiwa

"nitakutunza pia katika saa ya kujaribiwa"

saa ya kujaribiwa

"muda wa kujaribiwa." Hii inaweza kumaanisha "wakati ambapo watu watajaribu kukufanya usinitii.

inakuja

Iliyo siku za usoni inazungumziwa kama ijayo.

Naja upesi

Inaeleweka kuwa anakuja ili ahukumu. "Ninakuja kuhukumu hivi punde"

Shikilia sana

"Endelea kuamini"

taji

Taji ilikua ni shada ambalo asili yake ilikua ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi ambayo yaliweka kwenye kichwa cha mwanariadha mshindi.