sw_tn/rev/03/07.md

557 B

Taarifa ya Jumla:

Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Filadefia.

ufunguo wa Daudi

Yesu anazungumzia mamlaka yake kuamua nani aingie katika ufalme wake kama vile ni ufunguo wa Mfalme Daudi.

hufungua na hakuna afungaye

"anafungua mlango wa ufalme na hakuna awezaye kuufunga.

hufunga na hakuna awezaye kufungua

"hufunga mlango na hakuna awezaye kuufungua"

nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa

"Nimekufungulia mlango"

jina langu

neno "jina" mara nyingi hutumika kuonesha mtu mwenye hilo jina. "mimi"