forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
557 B
Markdown
24 lines
557 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Filadefia.
|
||
|
|
||
|
# ufunguo wa Daudi
|
||
|
|
||
|
Yesu anazungumzia mamlaka yake kuamua nani aingie katika ufalme wake kama vile ni ufunguo wa Mfalme Daudi.
|
||
|
|
||
|
# hufungua na hakuna afungaye
|
||
|
|
||
|
"anafungua mlango wa ufalme na hakuna awezaye kuufunga.
|
||
|
|
||
|
# hufunga na hakuna awezaye kufungua
|
||
|
|
||
|
"hufunga mlango na hakuna awezaye kuufungua"
|
||
|
|
||
|
# nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa
|
||
|
|
||
|
"Nimekufungulia mlango"
|
||
|
|
||
|
# jina langu
|
||
|
|
||
|
neno "jina" mara nyingi hutumika kuonesha mtu mwenye hilo jina. "mimi"
|