sw_tn/rev/03/05.md

619 B

Yeye ashindaye

Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"

atavikwa mavazi meupe

Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "atavaa mavazi meupe" au " Nitampa ngu nyeupe"

nitalitaja jina lake

Hata taja jina lake tu bali atatangaza kuwa huyu ni mtu wake. "Nitatangaza kuwa ni mali yangu"

Baba yangu

Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

Mwenye sikio asikie

Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"