forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
619 B
Markdown
20 lines
619 B
Markdown
|
# Yeye ashindaye
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"
|
||
|
|
||
|
# atavikwa mavazi meupe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "atavaa mavazi meupe" au " Nitampa ngu nyeupe"
|
||
|
|
||
|
# nitalitaja jina lake
|
||
|
|
||
|
Hata taja jina lake tu bali atatangaza kuwa huyu ni mtu wake. "Nitatangaza kuwa ni mali yangu"
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Mwenye sikio asikie
|
||
|
|
||
|
Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"
|